Hapa nilikuwa na kuchemsha tu mkuu, I knew ni typing error - nikawa najiuliza hivi hii simu imegehuka lini kuwa square root ya namba za Kichina? Siunajua tena softtouch keys za smartphones hazijakaa ki -qwerty qwerty sana mkuu!! Goodday.Ni typing error tu mkuu Sent from my iPhone using JamiiForums app
mpaka ninue gari ndo nimiliki hilo lifanton maana huku ngaloloo nitakufa chap