Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Kwa Mara nyingine tena, Dola imethibitisha kua ndio inayokitumia chama Cha Mapinduzi kuendesha Nchi.
Adui wa Siasa Safi, Utawala wa Sheria na Maendeleo ya Watu ni DOLA inayokitumia CCM.
Mwl Nyerere alihakikisha anaunganisha Dola na CCM kua kitu kimoja.
CHADEMA inasema Bila Mabadiliko , Hamna Uchaguzi... Na Mwenyekiti LISSU anasema 'Kama Mabadiliko hayaji kwa Amani ni lazima tukinukishe !!.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
JESHI LA POLISI Hata Wakati ambao Kampeni hazijaanza, Tayari wameonyesha Upendeleo, uonevu mkubwa Kwa LISSU na CHADEMA, Naam Sasa ikiwa hali ndio hiii na Kampeni bado, na hata huo uchaguzi bado, Je bila Mabadiliko, siwatahakikisha Kilichotokea 2020 ndicho kinajirudia??.
JESHI linamshikilia LISSU Kwa Uhaini na Uchochezi wa kuzuia Uchaguzi 2025 yaan Jeshi linamkamta LISSU Kwa sababu ya 'NIA' , Kwa Lugha nyingine LISSU akiamua kusema tunaingia uchaguzi hivohivo, Huo Uhaini na Uchochezi unakua HAUNA MAANA TENA.
WITO wangu Kwa TEC Tangazeni Maandamano ya AMANI ya Nchi Nzima Sikukuu ya PASAKA na WAKRISTO wote na WAISLAM wote ambao mnaamini katika HAKI kuhudhuria maandamano hayo !!.
TEC Tanzania ni wakati wenu huu kusimama na Wananchi na Taifa Kwa ujumla, Maaskofi Ukatoliki Duniani kote wamekua msatari wa mbele kupambania Mataifa na ya kuyatoa kwenye Mikono ya Dhuluma .
Bandari kapewa Mwarabu.
Ngorongoro Kapewa Mwarabu .
Nchi knazidi kutafunwa na kutafunwa .
TEC itisheni Maandamano Nchi Nzima sikukuu ya PASAKA !!!.
NO REFORMS, NO ELECTION !!
MUNGU MLINDE TUNDU LISSU!!.
Adui wa Siasa Safi, Utawala wa Sheria na Maendeleo ya Watu ni DOLA inayokitumia CCM.
Mwl Nyerere alihakikisha anaunganisha Dola na CCM kua kitu kimoja.
CHADEMA inasema Bila Mabadiliko , Hamna Uchaguzi... Na Mwenyekiti LISSU anasema 'Kama Mabadiliko hayaji kwa Amani ni lazima tukinukishe !!.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
JESHI LA POLISI Hata Wakati ambao Kampeni hazijaanza, Tayari wameonyesha Upendeleo, uonevu mkubwa Kwa LISSU na CHADEMA, Naam Sasa ikiwa hali ndio hiii na Kampeni bado, na hata huo uchaguzi bado, Je bila Mabadiliko, siwatahakikisha Kilichotokea 2020 ndicho kinajirudia??.
JESHI linamshikilia LISSU Kwa Uhaini na Uchochezi wa kuzuia Uchaguzi 2025 yaan Jeshi linamkamta LISSU Kwa sababu ya 'NIA' , Kwa Lugha nyingine LISSU akiamua kusema tunaingia uchaguzi hivohivo, Huo Uhaini na Uchochezi unakua HAUNA MAANA TENA.
WITO wangu Kwa TEC Tangazeni Maandamano ya AMANI ya Nchi Nzima Sikukuu ya PASAKA na WAKRISTO wote na WAISLAM wote ambao mnaamini katika HAKI kuhudhuria maandamano hayo !!.
TEC Tanzania ni wakati wenu huu kusimama na Wananchi na Taifa Kwa ujumla, Maaskofi Ukatoliki Duniani kote wamekua msatari wa mbele kupambania Mataifa na ya kuyatoa kwenye Mikono ya Dhuluma .
Bandari kapewa Mwarabu.
Ngorongoro Kapewa Mwarabu .
Nchi knazidi kutafunwa na kutafunwa .
TEC itisheni Maandamano Nchi Nzima sikukuu ya PASAKA !!!.
NO REFORMS, NO ELECTION !!
MUNGU MLINDE TUNDU LISSU!!.