Team ya wapiga deki mpooo!

Qwi qwi nishidah ati maana wanaona maupinde upinde tena bola hata ya upinde unalangi nzuli hao nizaidi ya upinde,huwa nakeleka kweli na watu wanaojichubua huko nikutokujikubali mwenyewe.
N:B Kama weupe ungekua dili ubuyu usingepakwa langi teh teh
Yaan unakuta mtu ana rangi kumi mwilini mwake usoni rangi 5 miguu rangi 2 na ndani ya mwili nako rangi 2 sasa sijui wanaume hua wanaoa upinde wa mvuaa
 
ahahahaha ngoja Dina akutangaze ye ndo yupo na lile gari la mobile broadcasting!lina supika kuuuuubwa wewe!

haaaa mimi ndo dereva na tumebadili muelekeo kwa maaana kuna jitu haliskii siku ya karibu tumemfunda ila anatusumbua Dinazarde my wii yle mwali anasumbua bdo ujue
 
Last edited by a moderator:
hapo; Unamkusudia mtu au mwenza..?
waamolaa.
 
uuuuupsi ina maana babu kazeeka hadi original haujui best ooor ndo mapenzi nipoteze kama ndege ya malaysia

Hahahahaa mahaba nipofue....ye anaona orijinale kabisa hii
 
haaaa mimi ndo dereva na tumebadili muelekeo kwa maaana kuna jitu haliskii siku ya karibu tumemfunda ila anatusumbua Dinazarde my wii yle mwali anasumbua bdo ujue

yu kwaaaaaapi?
hem geuza motokaa fasta!
 
Last edited by a moderator:
hem ngoja kwanza!
umesema sura zimenyonyoka kama wat?

kuna yule mdada wa kinondoni..jina kapuni a.k.a mama manywele tooooba sura imelendemka utafikiri mlenda na zile kope za bandia kama jini vile.....akilowa na mvua na zile makeup sijui itakuweje
 
Wakijiziba mdomo kwa mkono unawezahisi amepigwa kabali, mkono mweusii..

hahahahahahahahaha
yan unamaanisha unaweza ita 911 kwamba kuna mtu ananyimwa pumzi huku unashuhudia
 
kuna yule mdada wa kinondoni..jina kapuni a.k.a mama manywele tooooba sura imelendemka utafikiri mlenda na zile kope za bandia kama jini vile.....akilowa na mvua na zile makeup sijui itakuweje

Hold on.. Dinazarde hebu hii ya kupiga deki weka kapuni kwanza lol...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…