Team Wasira ni Noma

CCM naipenda lakini huyu jamaa hapana kwa kweli mtanisamehe!!
 
Yupo live apa Itv anasema akiwa Rais...atahskikisha jembe la mkono linawekwa stoo.maana yake anafanya Agrarian revolution.watu wanampigia makofi sana apa
 
Ila kwa huu ukumbi ilivo V.I.P sidhan km mtu wa chin atathubutu kuja kuingia humu..angetafuta ukumbi wa kawaida
 
hapo kwenye red ndipo alipopoteza sifa ya kuteuliwa na CCM
 
Mwenyewe anadai kajenga mashule jimboni mwake na kujenga mabwawa
 
Mbona hujaonesha hiyo team Wassira na unoma wake kwenye thread yako.
Ndorrrroboooooo hujatulia kabisa inabidi tukupepeeee!
 
aliendele a na masomo yake ya Sekondari katika Shule ya-British Tutorial College.
Hii shule ya sekondari iko wapi? Muda kidogo aliwahi kuonyesha shule ya Sekondari ya Bwiru; nadhani mwandishi umekosea. Ninajua kuwa alisoma Nyambitilwa ila sijui darasa gani.
 
Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Mara alikula pesa walizokatwa wakulima kwenye mauzo ya Pampa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa. Mpaka sasa lile jengo limebaki kuwa gofu kule mlimani.
 
Mtoa mada unadai eti kwa miaka 10 Wassira alijikita ktk biasha za kampuni yake baada kutolewa ktk ubunge 1996. sasa si useme tu ukwel kuwa baada ya Wassira kuvuliwa ubunge na mahakama kwa kushinda kwa kutumia rushwa, alipigwa ban asigombee nafasi yoyote kisiasa hadi after 19 yrs. sasa wewe badala ya kuwa muwazi unasingizia alikuwa akifanya biashara!! weka yote wazi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…