Team USA Hatushindwi - Njoni tuyajenge

Be careful watch it! sawa mna uwezo wa kumchapa mkorea but not to that extend kiduku sio wa kumchukulia poa hata kidogo Mungu tusaidie giant national anaweza kulia[emoji23][emoji23]
 
Still tuna watu wa aina hii hapa duniani kumbe?
 
Mie team NK hao uliowataja woote waarab na Mzee wa kiduku sio mwarab so watch it
Pamoja sana yaani urusi hataki kuwaachia Syria mitambo ya kuzuia mashambulizi kwa sababu ni waarabu. Waarabu hawanaga siri ndio maana anawalinda akiwa kwake.

Nilikuwa naelezea udhaifu wa waarabu tu. Sasa marekani kwa Kim amepatikana yaani atapigwa mubashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…