Team USA Hatushindwi - Njoni tuyajenge

Kiduku hana ubavu wa kuipiga US technically or strategically....vita ni combination ya many factors of which NK ni immature and incompetent in warfare ukilinganisha na The US
Kiongozi; uko sahihi. Huwa nawashangaa wajinga humu wanaotaka kumfananisha Kim na Gaddafi au Saddam! Kim "karithi" utawala kwa babaye utamlinganisha kweli na Gaddafi au Saddam waliosota jangwani miaka kufika walipofika? Bonge nyanya lile lisilojua hata njaa inaumaje! Vyovyote iwavyo, wananchi masikini wa N.K. wanaenda kuona enzi mpya kama wenzao wa S.K. wenye maisha ya staha.
 
Reactions: PNC
Mm ni team America dieharder bora ata wamarekan wanatupa misaada co huyo mnyoa viduku.I stand with Americans
 
Reactions: PNC
Mm ni team America dieharder bora ata wamarekan wanatupa misaada co huyo mnyoa viduku.I stand with Americans
Mnyoa viduku ni chama rafiki na chama letu. Hata kwenye mikutano mikuu yao huwa wanaalikana.
 
Reactions: PNC
Mm ni team America die harder bora hao wanatupa misaada sio huyo mnyoa viduku.I stand with Americans may God bless them
 
Reactions: PNC
Jama vita haina macho.msije mkashangaa uchumi wa dunia ukayumba
Na dola kuporomoka
 
Kwanza kiduku hana Ubavu wakumtokotesha Mmarekani kivita marekani wazoefu kwa vita na propaganda wanazijua.. Angalia jana tu Bomu lake limebuma kuruka alafu ndo anatenga vita hajaanza hata kushambuliwa kitu kinabuma ataweza mikiki
Ile ilikuwa cyber attack ya US. Ni onyo tosha kwa mwenye ufahamu. Kazi kwake, kushupaza shingo au kuwa mtii.
 
Wengine sie wazalendo tunashabikia Al shabab na Boko haram.
 
Adhabu safi kwa adui si kumwua. Ni kumfanya ajione alivyo mpumbavue.
For the sake of the national interest, that's the minimum punishment he deserves. Kukiacha hai kitasumbua sana. Unajua, ukitaka kumuua nyoka, ponda kichwa; na kichwa ndio kile. I am sure, ikitangazwa Kim kanyongwa, NK itashangilia kuliko tunavyofikiria. Wale watu wako na mateso ya ajabu wajameni.
 









 
W. A. S. A. F. I? Worshiping American Satan And Freemasons International ly
 
Hakuna vita ambayo us alipigana zaidi ya ile vietnam.
Iraq hakufanya interijensia yeyote zaidi ya kutumia vyombo vya kimataifa kumzoofisha kijeshi.
Us na washilika wake wanategemea vikwazo na sasa njia hiyo haisaidii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…