Team Membe ni akina nani?

Team Membe ni akina nani?

toby ziegler

Senior Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
105
Reaction score
58
Naamini Membe kashajipanga vilivyo

Sasa bora tujakua team yake kuanzia kwenye media, online media, serikalini, sekta binafsi, ndani ya chama, nje ya nchi etc

Hiii ni muhim tukajua ili akipata urais tusijeanza lalamika ohhh sijui nani katokea wapi au akianza kulipa fadhila tukaanza kulalamika

kwa kuanza tuuu kuna habari kuwa kwenye kona ya Membe ni hawa hapa chini na sababu nyote mnazijua:



jkwilaya.jpg


5.-MAMA-SALMA-KIKWETE-AKISIKJILIZA-KWA-MAKINBI-MASWALI-KUTOKA-KWA-WANANCHI1.jpg


2.jpg
 
Naamini Membe kashajipanga vilivyo

Sasa bora tujakua team yake kuanzia kwenye media, online media, serikalini, sekta binafsi, ndani ya chama, nje ya nchi etc

Hiii ni muhim tukajua ili akipata urais tusijeanza lalamika ohhh sijui nani katokea wapi au akianza kulipa fadhila tukaanza kulalamika

kwa kuanza tuuu kuna habari kuwa kwenye kona ya Membe ni hawa hapa chini na sababu nyote mnazijua:



jkwilaya.jpg


5.-MAMA-SALMA-KIKWETE-AKISIKJILIZA-KWA-MAKINBI-MASWALI-KUTOKA-KWA-WANANCHI1.jpg


2.jpg

Mtoe Rais Kikwete ananidhamu kubwa hawezi kumuunga mkono Membe
 
Mwanakijiji ni team Membe miaka nenda rudi
..........unajua leo, pole!!!!! ndio maana anajaribu kuonesha ubaya wa Lowassa bila kwa upande wa pili kutuambia ni nani anafaa, japo moyoni mwake anataka tusome "Membe"
 
Naamini Membe kashajipanga vilivyo

Sasa bora tujakua team yake kuanzia kwenye media, online media, serikalini, sekta binafsi, ndani ya chama, nje ya nchi etc

Hiii ni muhim tukajua ili akipata urais tusijeanza lalamika ohhh sijui nani katokea wapi au akianza kulipa fadhila tukaanza kulalamika

kwa kuanza tuuu kuna habari kuwa kwenye kona ya Membe ni hawa hapa chini na sababu nyote mnazijua:



jkwilaya.jpg


5.-MAMA-SALMA-KIKWETE-AKISIKJILIZA-KWA-MAKINBI-MASWALI-KUTOKA-KWA-WANANCHI1.jpg


2.jpg
........hahaaaaaaaaaa!!!!!! BMW/M siyo.........
 
Leo ndio numejua

Of all people nilidhani Mwanakiji ni independent minded lakini nimetonywa kuwa ana "tow the line" anafuata instructions toka kwa "JAMAA YETU"

Kuna uwezekano kabisa watu wakikaa wanapigishana stori wenyewe halafu wanaamini wenyewe...
 
Team membe ni watu wasio na game plan wala courage ya kusimamia wanachoamini.. Kazi yao kuu ni kupiga fitna na kulalamika, they are never results oriented and have decided to maintain the status quo in the name of national security
 
Wengine ni Pengo,Diamond,Zari,kundi la Mkubwa na wanae,Alli Choki na Muumini Mwinjuma.
 
Membe kivipi tena..?? Acheni masihara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom