President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Team Lowassa msishangae ndege yenu ikishindwa kuruka kwa kukosa mafuta!
Hili ni angalizo tu kwenu, mjue kampeni za urais sio lelemama!
Baada ya TV zote kudhibitiwa vilivyo na TCRA, sasa ni mwendo mdundo kwa upande wa magazeti na mitandao ya kijamii.
Pia huko tunakoelekea, ipo siku mpendwa wenu atafika airport akute ndege haina mafuta!
Mjiandae mapema 'kisaikojolea' maana mnapambana na chama dola!
Hili ni angalizo tu kwenu, mjue kampeni za urais sio lelemama!
Baada ya TV zote kudhibitiwa vilivyo na TCRA, sasa ni mwendo mdundo kwa upande wa magazeti na mitandao ya kijamii.
Pia huko tunakoelekea, ipo siku mpendwa wenu atafika airport akute ndege haina mafuta!
Mjiandae mapema 'kisaikojolea' maana mnapambana na chama dola!