![]()
Naona kama plate number za kichina au macho yangu?
Ile safari ya matumain kwa wasaka pesa imeanza
Ile safari ya matumain kwa wasaka pesa imeanza
Mwigulu kawavunja magotisince jumamosi seems like #teamlowassa is dead??? hawasikiki kbsa sijui ndio wameishiwa mpango kazi?
Atakuwa kama Mitt Romney, mgombea uraisi wa Marekani kupitia chama cha Republican. Alijiaminisha kwamba angempiga chini Baraka Obama kwenye uchaguzi wa 2012, kilichotokea yeye na wapambe wake hawakuamini mpaka dakika ya mwisho!.What will happen huyu jamaa asipopata urais maana it is terrible tamaa aliyo nayo ya Ikulu.