Team kataa Ndoa, nawaasa msikatae maarifa!

Team kataa Ndoa, nawaasa msikatae maarifa!

Nimesikia mtu kalipa mahali ya ng'ombe 200. Yaani retirement plan unabadilisha kwa stress?
Atakuwa Msukuma katoa mahali ya ng’ombe hao kwa mtoto mweupe 😩, ahahha tamaduni za watu bana
 
Zingatia hapa mkuu…………

Mke anatakiwa kumheshimu mume wake, lakini heshima hiyo haimaanishi kubeba maumivu ya kudumu, udhalilishaji, au kupoteza utu wake.
Mume anayestahili heshima ni yule anayejitahidi kuwa na heshima, uwajibikaji, uadilifu na upendo.
Ikiwa kuna tabia kama ulevi uliokithiri, lugha za matusi, au kutowajibika kwa familia, ni haki ya mke kuweka mipaka na hata kusaka msaada kutoka kwa wazee wa familia, viongozi wa dini, au wataalamu wa ushauri wa ndoa.


Lakini asiache kuombea ndoa yake daima maana imeandikwa ….

(Mathayo 5:44):“Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi...”
  • Mume au mke mwenye tabia mbaya anaweza kuombewa kila siku, lakini pia unachukua hatua za ushauri, mawasiliano, au hata kujitenga kwa muda kama kuna hatari.
  • Hata unapoumizwa, haujibu kwa chuki, bali unachagua kutenda kwa hekima na utu.
  • Unaweka mipaka bila kulipiza kisasi.
Binaf
Zingatia hapa mkuu…………

Mke anatakiwa kumheshimu mume wake, lakini heshima hiyo haimaanishi kubeba maumivu ya kudumu, udhalilishaji, au kupoteza utu wake.
Mume anayestahili heshima ni yule anayejitahidi kuwa na heshima, uwajibikaji, uadilifu na upendo.
Ikiwa kuna tabia kama ulevi uliokithiri, lugha za matusi, au kutowajibika kwa familia, ni haki ya mke kuweka mipaka na hata kusaka msaada kutoka kwa wazee wa familia, viongozi wa dini, au wataalamu wa ushauri wa ndoa.


Lakini asiache kuombea ndoa yake daima maana imeandikwa ….

(Mathayo 5:44):“Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi...”
  • Mume au mke mwenye tabia mbaya anaweza kuombewa kila siku, lakini pia unachukua hatua za ushauri, mawasiliano, au hata kujitenga kwa muda kama kuna hatari.
  • Hata unapoumizwa, haujibu kwa chuki, bali unachagua kutenda kwa hekima na utu.
  • Unaweka mipaka bila kulipiza kisasi.
sawa nmekuelewa
 
Back
Top Bottom