Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,456
- 3,382
Mtaje kwa jina mmojawapo wa hao na anatoka ukoo wgani mpumbavu wewe!Team JPM ni wale wote waliokuwa wanajuhusisha na wizi wa Mali za uma na kuzipeleka kwao kama JPM alivyokuwa akiijenga chato
Kifupi Sukuma gang ni wale wauwaji waliokuwa wanateka watu na kuuwa wakiongozwa na JPM mwenyeweView attachment 2289140View attachment 2289144
Etwege Nyankurungu2020 Idugunde Stroke Sang'udi Crimea comte Lwiva Mzee Mwanakijiji hao ni baadhi yaoWadau nimekuwa Nasikia TEAM JPM mara SUKUMA Gang je Hii TEAM JPM ni AKINA NANI?
😆😆😆😆 Wakamuulize huyo huyo Lowasa na Sumaye walikoishia.Wadau nimekuwa Nasikia TEAM JPM mara SUKUMA Gang je Hii TEAM JPM ni AKINA NANI?
na Hii SUKUMA Gang nayo ni AKINA NANI?Ninachojua JPM alikuwa Mwanachama wa CCM ni Dhahiri hiyo TEAM JPM nao ni Wanachama wa CCM
Je CCM imepasuka Mapande Mawili? Ngoja tusubiri Maadam TEAM JPM WAMEAMUA KUJIPANGA
View attachment 2289027
Taja 2Team JPM ni Mapoyoyo yaliyotemwa kutoka kwenye Asali.
Team JPM ni wale wote waliokuwa wanajuhusisha na wizi wa Mali za uma na kuzipeleka kwao kama JPM alivyokuwa akiijenga chato
Kifupi Sukuma gang ni wale wauwaji waliokuwa wanateka watu na kuuwa wakiongozwa na JPM mwenyeweView attachment 2289140View attachment 2289144
Anahusika na hiyo timu ?Ulimwengu ni mpumbavu sana
Akitaka habari yake iwe nzuri?! Unaweza kumtumia dhalimu ili habari yako iwe nzuri? Huyo ambaye inasemekana wanaomkosoa ni walioko mitandaoni, lakini walioko mtaani ndio wanamuelewa?!Siku hizi Hayati JPM kawa dili ,kila mtu akitaka habari iwe nzuri anatumia jina lake ,akitaka thread ichangiwe analitumia Jina lake .Hii ni mpaka vyombo vya Nje ,kwa Kifupi mwamba Aliacha legacy ya kipekee na haitafutwa .
Hata hivyo team samia ni huko maofisini kwenu lakini huku ground ni team jpm na tunasubiria direction. Natuma salamu kutokea kaburini chato!!!!!
Kwamba mmeanza tena kulamba asali, au?Aisee life linakwenda spidi sana
Hebu ielezee hadhira namna ulivyompenda. Weka mapenzi yako hadharani.Ni ujinga kulazimisha eti JPM hakuwahi kupendwa!
Ni wachache saana wanaoamini hivyo, na wakitaka kumsema JPM, utawaona hadi mishipa itawatoka ili waamini wanasikiwa!
Lakini wengi wa watanzania tuliomkubali mwamba, lugha ya kumsemea ni laiiini na inaeleweka!
Mpumbavu zao vyeti feki na duni.. a ambao kuishi kwao mpaka wasuke madili!