Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,393
- 4,083
Wadau nimekuwa Nasikia TEAM JPM mara SUKUMA Gang je Hii TEAM JPM ni AKINA NANI?
na Hii SUKUMA Gang nayo ni AKINA NANI?Ninachojua JPM alikuwa Mwanachama wa CCM ni Dhahiri hiyo TEAM JPM nao ni Wanachama wa CCM
Je CCM imepasuka Mapande Mawili? Ngoja tusubiri Maadam TEAM JPM WAMEAMUA KUJIPANGA
na Hii SUKUMA Gang nayo ni AKINA NANI?Ninachojua JPM alikuwa Mwanachama wa CCM ni Dhahiri hiyo TEAM JPM nao ni Wanachama wa CCM
Je CCM imepasuka Mapande Mawili? Ngoja tusubiri Maadam TEAM JPM WAMEAMUA KUJIPANGA