VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.
'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.
Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
Huyo mhadhiri ana mambo ya kizamani.Siku hizi vyuo ni vingi na mtu anaamua anapenda aende chuo gani au yeye alitaka TCU iwalazimishe kuchagua ud.Mbona kuna kozi kibao zimekosa watu hapo ud?Tatizo ud wanajiona wako juu sana na kudharau vyuo vingine.Ukiritimba wa vyuo vichache sasa umepitwa na wakati na elimu ya juu hapa bongo ilichelewa mno kupanuliwa na ndio maana nchi hii graduates ni wachache.Ilikuwa ni bahati mbaya sana kuwa na vyuo vikuu vya kuhesabu.Wengi walikosa elimu ya chuo kikuu si kwasababu hawakua na sifa bali ni uchache wa vyuo vikuu kwa wakati huo.Tujifunze kutoka mataifa mengine na tuachane na ukiritimba wa ud.
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.
'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.
Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.
'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.
Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
suala ni kusoma, wengi wanaenda chuo na ufaulu wa chini ila wanafanyaa vizuri sana ktk digrii zao, mi sioni kama kuna shida maana ufaulu/kutofaulu kiwango cha juu imetokana na mazingira ambayo wanafunzi walikuwa nayo huko sekondari na kwakuwa pale chuo wanakuwa na mazingira sawa "natural selection" itafanya kazi, waliochaguliwa wala msitishike hata kidogo. JIANDAE KUPIGA SHULE, yangu hayo tu
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.
'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.
Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
Hapo hamna lolote special school zenyewe zinachukua mpaka hata ii.18 ,ii.19, sembuse udsm?
kama kawaida ya wahanga! Vp umepiga chuo gani vile cha kata?
Jiulize hawa wanasheria boma wanaosaini mikataba mibovu inayoangamiza taifa walisoma chuo gani.
Hata hao wanafunzi wa kata unaodharau shule zao utakutana nao hapo ud na ukika vibaya wanakukimbiza tu.
Mkuu acha dharau.Kama unaona ud iko juu waliosoma Havard,cambrige na kwingineko watasemaji?
UDSM haina hati miliki ya maisha bora baada ya kumaliza masomo.
Muombe mungu tu akusaidie usome vizuri na umalize na ufanikiwe baada ya hapo.
Tunawatakia kudisco kwema.Wale jamaa UDSL huwa hawana akili nzuri wale. Mwaka huu UDSM na DUCE wamedisco first year kibao kwa sababu ya kuwa product ya huu mtindo wa TCU sas itakuwaje kwa hawa waliojazwa na TCU? Kuna mtu anaitwa Mgongofimbo, mwingine N.N.N Nditi na Palamagamba Kabudi. Labda kma Kabudi kahamia moja kwa moja kwenye Tume ya Katiba. Halafu kuna haka Ka Asha Rose Migiro nasikia kakamataji kazuri...Tabia mbaya sana ile ya kuharibia life wenzaohawana lolote hawa wat wa udsm ukichaguliwa umechaguliwa