wadau jf mi nataka kujua wanafunzi wa st. joseph arusha wamegoma tangu jana sababu walisikia bungeni mbunge akisema chuo kilisajiliwa kama cha diploma na sio degree, hii taarifa ni sahihi na kwa nini tcu wawapeleke kwenye chuo cha diploma na wawape mkopo?
wadau jf mi nataka kujua wanafunzi wa st. joseph arusha wamegoma tangu jana sababu walisikia bungeni mbunge akisema chuo kilisajiliwa kama cha diploma na sio degree, hii taarifa ni sahihi na kwa nini tcu wawapeleke kwenye chuo cha diploma na wawape mkopo?