C chulla Member Joined Jun 4, 2016 Posts 48 Reaction score 21 Jul 7, 2016 #1 Mwenye taarifa ya lini hasa TCU wataanza kupokea maombi, nijuze tafadhali
N NicholausII Member Joined Jun 13, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 7, 2016 #2 TCU wanapokea maombi baada ya matokeo kutoka Sasa unataka muanze kutuma kabla hamjajua majibu yenu?
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,032 Jul 7, 2016 #3 Hao kuna kipind mtu wa kusoma HR alipangiwa Business Management and Finance Jipuuuuuuu
GOLDGREEN9 JF-Expert Member Joined Jun 14, 2016 Posts 351 Reaction score 223 Jul 7, 2016 #4 Subir kidogo TCU wataleta mambo!!
ANTHONY KWEKA JF-Expert Member Joined Mar 26, 2013 Posts 958 Reaction score 380 Jul 7, 2016 #5 kuna walakin mkubwaaa kwa uchelewajii
Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,481 Reaction score 27,185 Jul 7, 2016 #6 Je sifa unazo?