Unauliza mkarafuu pemba..!!but unaweza kuchange kama utasoma master..ungesoma in education unakua ticha mpaka kaburini kwako maana hata hio master huwez kisoma kitu kingine lazima usomee ualimu
Unauliza mkarafuu pemba..!!but unaweza kuchange kama utasoma master..ungesoma in education unakua ticha mpaka kaburini kwako maana hata hio master huwez kisoma kitu kingine lazima usomee ualimu
Unauliza mkarafuu pemba..!!but unaweza kuchange kama utasoma master..ungesoma in education unakua ticha mpaka kaburini kwako maana hata hio master huwez kisoma kitu kingine lazima usomee ualimu
Inategemea na mwajiri wako but with education sio lazima uwe mwalimu..ila unaweza kusoma master ya kitu chengine coz with education maana yake education sio major
Inategemea na mwajiri wako but with education sio lazima uwe mwalimu..ila unaweza kusoma master ya kitu chengine coz with education maana yake education sio major
Unaweza kufanya kazi za bzness as well as ualimu wa masomo ya biashara!!..yaan course yyt wa with education sio lazima uwe mwalimu but unaweza kuwa mwalimu..ukiona in education ujue hapo ni ualimu2 kwenda mbele na huwezi kuchomoka tena kwenye ualimu
Unauliza mkarafuu pemba..!!but unaweza kuchange kama utasoma master..ungesoma in education unakua ticha mpaka kaburini kwako maana hata hio master huwez kisoma kitu kingine lazima usomee ualimu