kufatia tangazo la bodi ya vyuo vikuu kuhusu admission 2017/18 sasa kidogo mmetufungua macho..lakini tatizo ambalo hamjaongelea kabxa ni bei ya form za application kutoka higher learning institutions kuna baadhi ya vyuo form ni mpaka 50,000 lower price nmeona 20,000 malofa tutaweza apply chuo zaidi ya kimoja!!?
kingine msaada apa je nikiwa na haya matokeo naweza itumia hiyo D kwa sababu principal pass zipo tayari
? naatachi picha
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app