TCU Kunani 11.09.2019 Majibu ya F6 Yatoka Admission Guidebook hazijatoka.

Masiya

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
7,578
7,281
Fikiria majibu ya F6 yametoka 11.07.2019 lakini TCU bado hawajaweka Admission Guidebooks hewani. Pia walifungua dirisha dogo kwa waombaji waliomaliza masomo miaka ya nyuma lakini hakukuwa na guidebooks. Walituarifu guide book zingetoka June 10, 2019 leo mwezi umeshapita. Kipi kinaendelea na je tatizo la multiple selection mwaka huu watalitatua vipi? Au tutegemee majanga tena?
 
Walidai kutakuwa na maboresho mwaka huu, ila naona ndo wanezidi kuzingua.sijui wanakwama wapi. Kuna watu wame apply dirisha dogo tayari wale wa miaka ya nyuma.
Halafu ukute wanakuja kutoa guide book ambayo ina minimum qualification ambazo ni tofauti, aisee wajitafakari kwa hili na hilo la multiple confirmation sijuii.. 😞
 
Fikiria majibu ya F6 yametoka 11.07.2019 lakini TCU bado hawajaweka Admission Guidebooks hewani. Pia walifungua dirisha dogo kwa waombaji waliomaliza masomo miaka ya nyuma lakini hakukuwa na guidebooks. Walituarifu guide book zingetoka June 10, 2019 leo mwezi umeshapita. Kipi kinaendelea na je tatizo la multiple selection mwaka huu watalitatua vipi? Au tutegemee majanga tena?
kesho ndo guide book inatoka...soma hii almanac yao mpya achana na ile iliyosema tarehe 10 june...ila leo wametoa almanac mpya nahisi kesho ndo wanatoa guidebook make walikuwa wanasubili matokeo yatoke halafu kuna vyuo vilikuwa vinajadiliwa vipewe wanafunzi mwaka huu au viendelee kusugua benchi..kwa hiyo keshonguide book ndo itaamua vyuo gani vidahili
View attachment Revised Admissions Almanac 2019.20.pdf
 
kesho ndo guide book inatoka...soma hii almanac yao mpya achana na ile iliyosema tarehe 10 june...ila leo wametoa almanac mpya nahisi kesho ndo wanatoa guidebook make walikuwa wanasubili matokeo yatoke halafu kuna vyuo vilikuwa vinajadiliwa vipewe wanafunzi mwaka huu au viendelee kusugua benchi..kwa hiyo keshonguide book ndo itaamua vyuo gani vidahili
View attachment 1151215
Ahsante mkuu ingawapo wamefungua dirisha dogo tarehe 24 June 2019 kabla ya kutoa guide books. Tutaisubiri hizo guide books hapo kesho hasahasa kuona tamati ya hivyo vyuo vingine vilivyokua vimepigwa kufuli au baadhi ya programu zao zilipigwa kufuli. Kubwa zaidi nikuona jinsi watakavyo pambana na issue ya MULTIPLE SELECTION mwaka huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom