TCU HII JANJA YENU BADAMU BATAMWAGIKA

mwanakijiji lugusi

Senior Member
Apr 13, 2016
128
96
Mi nmeota labda haya magumash wanayafanya ili MKULU AWAONEE HURUMA ili ajue HUU MFUMO NI MBOVU ili MFUMO WAO WA ZAMANI URUDISHWE waendelee KUPIGA PESA kutoka vyuo dhaifu najiuliza Kwann wasitoe majina ya watu ambao ni cont kuonesha kuwa wanakigezo kuchaguliwa chuo walichoomba,kuliko kuwapiga chn kabisa maana unashindwa kuelewa kuwa pengine unakuta huna kigezo,

TCU baada ya kuzuiwa udahili naona hasira zao wanamalizia kwa waombaji tena wenye sifa kamilifu ili watu walalamike uonekane hii system haifai warudishiwe wao waendelee kupiga pesa za hongo vyuoni
 
Mi nmeota labda haya magumash wanayafanya ili MKULU AWAONEE HURUMA ili ajue HUU MFUMO NI MBOVU ili MFUMO WAO WA ZAMANI URUDISHWE waendelee KUPIGA PESA kutoka vyuo dhaifu najiuliza Kwann wasitoe majina ya watu ambao ni cont kuonesha kuwa wanakigezo kuchaguliwa chuo walichoomba,kuliko kuwapiga chn kabisa maana unashindwa kuelewa kuwa pengine unakuta huna kigezo,

TCU baada ya kuzuiwa udahili naona hasira zao wanamalizia kwa waombaji tena wenye sifa kamilifu ili watu walalamike uonekane hii system haifai warudishiwe wao waendelee kupiga pesa za hongo vyuoni
Mkuu naona unawaonea tu TCU kwani wao wanafanya kazi moja tu hapa nayo ni verification ya majina yaliyochaguliwa na vyuo kwa kutumia vigezo vilivyo wekwa. Mkulu pamoja na wengi walisema vijana wapate nafasi walizo omba kwa hivyo wa apply moja kwa moja vyuoni. Vyuo ndo vinavyo tutema na ukiweka multiple selections utaona kwa kila chuo cut off point yake inakuwa kubwa zaidi ya ile point 4 za kuruhusiwa kuomba. Wengi wa wanafunzi huomba zaidi ya chuo kimoja hivyo wale "vichwa" huziba nafasi ya wenzangu mie. Hili pamoja na uchaguzi mbaya ambao ni vigumu kujua kwa wengi tunaishia kulundikana kwenye vyuo fulani. Mwaka wa jana round ya kwanza walikosa kama 20000 na raundi nyingine zikapunguza hiyo list. Mfano round ya pili-dirisha la TCU lilionyesha nafasi ziko wapi, mwaka huu vyuo vitakuwa na uhakika tu nafasi ziko wapi baada ya wenye multiple-selections ku-confirm na kwa vyuo vingi zoezi hilo la kukonfirm litaishia siku dirisha la kuomba litakapo fungwa hivyo kinadharia waombaji wataomba kwa mara ya pili wakiwa gizani. Utaona kabisa kukonfirm kutasaidia zaidi HESLB kujua wapi waelekeze mkopo kuliko kufungua nafasi zaidi. Hata hii round ya pili ni kwa hisani ya TCU kwani kwenye calendar waliotoa mwanzo hiki kitu hakikuwepo. Tutavuna tulichopanda kama Taifa.
 
TANZANIA YA VI WONDER ACHA KABISA ,walisema acha mikogo mjini ni mipango na kula tango kunaitaji mpango.....TCU oyeee, NGOSHA SAFIIIIIII,,,,,,napita tu wadau
 
Mi nmeota labda haya magumash wanayafanya ili MKULU AWAONEE HURUMA ili ajue HUU MFUMO NI MBOVU ili MFUMO WAO WA ZAMANI URUDISHWE waendelee KUPIGA PESA kutoka vyuo dhaifu najiuliza Kwann wasitoe majina ya watu ambao ni cont kuonesha kuwa wanakigezo kuchaguliwa chuo walichoomba,kuliko kuwapiga chn kabisa maana unashindwa kuelewa kuwa pengine unakuta huna kigezo,

TCU baada ya kuzuiwa udahili naona hasira zao wanamalizia kwa waombaji tena wenye sifa kamilifu ili watu walalamike uonekane hii system haifai warudishiwe wao waendelee kupiga pesa za hongo vyuoni

Ulituma maombi yaki TCU au chuo husika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom