NACTE wao wamepewa idadi na TCU ukitaka kuhakikisha hilo wakati unaapply kupitia NACTE utaona sehemu ya corse unayoomba imeandikwa CAPACITY OF Applicant so wao wanashirikiana na TCU.Ukumbuke kuwa vyuo vyote vya kati (doploma&certificate) viko chini ya NACTE wao ndo watambuzi wa hivo vyuo TCU wanavitambua kupitia NACTE.Maombi ya watu wanao maliza certfcate na diploma yanapitshwa na NACTE na si TCU.nadhan nmeeleweka hapo.