TCRA yakanusha kutoa onyo kwa vyombo vya habari kusambaza maudhui kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini

TCRA yakanusha kutoa onyo kwa vyombo vya habari kusambaza maudhui kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekanusha onyo lililodaiwa kutolewa na mamlaka hiyo likionya vyombo vya habari kusambaza maudhui yanayoweza kuhatarisha amani kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini ambapo imesisitiza kuwa taarifa hiyo ni Potoshi.

Soma TCRA yatoa onyo kwa vyombo vya habari kusambaza maudhui yanayoweza kuhatarisha amani kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini



1763560099126.png
 
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekanusha onyo lililodaiwa kutolewa na mamlaka hiyo likionya vyombo vya habari kusambaza maudhui yanayoweza kuhatarisha amani kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini ambapo imesisitiza kuwa taarifa hiyo ni Potoshi.

Soma TCRA yatoa onyo kwa vyombo vya habari kusambaza maudhui yanayoweza kuhatarisha amani kutoka kwa watu wenye kesi za uhaini


View attachment 3504379
Aha ha ha ha ha 😂 😆 wamejitekenya wenyewe by the way nilitaka kushangaa.maana andiko lilikuwa la kipuuzi
 
Information War!!! Sasa hatujui fake ni ipi na orijino ipi!
 
Back
Top Bottom