Vodacom bado havijarudi mkuuVimerudi wapi?
TCRA Voda internet kifurushi cha siku ni MB 300 kwa siku
Inatakiwa vodacom tuwaseme kwa TCRAVimerudi!? Lengo lenu mnataka kumdanganya nani? Aliewatuma mvirudishe au sisi warumiaji!?
Hawa ni voda. Hapa moro mjini.View attachment 1767969
Dunia ipo kasi kweli kumbe siku hizi kunamsosi unaitwa vaku
Labda wanaenda kwa mafunguMbona wengine vodacom wameturudishia
Hatuna hela za kuwapigia,wao wasimamietu utekelezaji