nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Kuna sababu gani ya TCRA kuendelea kuwepo na kula mishahara ya bure iwapo mnashindwa kukamata hawa matapeli?
Kila mara mnatujazia sms tuwatumie namba za hawa watu tumetuma wee lakini hakuna jipya hii namba nimewatumia zaidi ya mara 10 lakini hadi leo bado ipo hewani.
Mnashindwa nini kuwakamata waliowasajilia laini hawa matapeli kweli wakati makampuni yanajulikana?
Kila mara mnatujazia sms tuwatumie namba za hawa watu tumetuma wee lakini hakuna jipya hii namba nimewatumia zaidi ya mara 10 lakini hadi leo bado ipo hewani.
Mnashindwa nini kuwakamata waliowasajilia laini hawa matapeli kweli wakati makampuni yanajulikana?