yaani hamuwezi amini mkutano wawadau ulioanza saa 3 asubuhi mpaka saa hizi bado watu wako kwenye chai na picha na mgeni rasmi, ni ajabu na kweli hawa watu wanatumia pesa chungu mzima za wananchi kufanya mchezo, hivi mgeni rasmi anashindwaje kuwepo mahali muafaka kwa muda uliopangwa? halafu akifika mipango mingine yote inasimama muda wa wadau waliofika muda muafaka ni kama vile watu wengine hawana shughuli? tunajitengenezea utamaduni wa kishenzi sana hebu mimi nifunge virago niondoke zangu niwaache hawa jokers waendelee, its a pity ndio maana mambo ya maana yanakosa washirki wa maana kwa sababu tu ya ushenzi wao.