Mkuu lawama zisielekezwe kwa makampuni ya simu, huduma ya internet ipo kama kawaida ndio maana Google search inafanya kazi kama kawaida cha kufanya ingia Google shusha vpn yako then enjoy the ride.usumbufu wa toka jana sijawai kukutana nao so sad kwa makampuni ya simu
Unaakili sanaAmani ya nchi kwanza
Wakijibu niite MkuuSitegemei mamlaka husika zikae kimya juu ya hili,hii ni aibu haiwezekani ndani ya nchi yetu wenyewe, kodi zetu wenyewe na huduma zetu wenyewe zitutese kwa kukosa hudama za kimtandao! Wengi wanatumia VPN kuperuzi.
Kwanini jambo hili lijitokeze wakati huu wa uchaguzi ambapo ilitakiwa mawasiliano yaimalike zaidi lkn imekuwa kinyume chake! Bila kuangalia imeathiri biashara za watu! Kuna watu wamekula hasara ni aibu hii kwa taifa maana inaonyesha ipo namna tena inatia shaka!.
Si ombi bali ni lazima vyombo husika vije vijibu nini kimetokea? Kwanini? Na kwanini iwe wakati huu wa uchaguzi?
Mheshimiwa alikiri kabisa kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki sijui kauli hii inamaana gani Kama Uhuru wenyewe unatia mashaka! yangu ni hayo ila mamlaka zitoe majibu na zisipotoa basi hakuna uthamani wanauona kwa watu wao!
Hapo umemaliza kabisa mkuuWatanzania ni mbuzi waliochangamka. Hakitatokea chochote na hatuna uwezo wa kuwafanya chochote, huu ndio ukweli.