TCRA mulikeni Mtandao wa Instagram

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Hivi TCRA hawayaoni yanayotendeka kwenye mtandao wa Instagram, yaani Malaya wote Tz wanajiuza Instagram kwa picha zao za uchi uchi, Mashoga wote wapo Instagram , matusi yote kuchambana Instagram,

Sasa sielewi hii cyber crime inatumika kwenye kukosoa tu viongozi na kuacha watu wanaovuruga maadili ya kitanzania, yaani ukitaka kujua kama bado una nguvu za kiume ingia Instagram utadindishaa mpaka uchoke, TCRA angalieni huku ni shida
 
Hilo nalo neno kiukweli hata Mimi nimewahi kuwaza jambo hili,lkn nani amfunge paka kengere?
 
Weka mifano na hizo account, siyo kutamka kwa ujumla.
Instagram ni uozo mzuuuri kabisa.

Search hizi accounts chache ndo utaelewa nini namaanisha

1,kaoge_mvuto_official
2,james_delicious
3,nasrampendamboro

Hiyo ni mifano tu,

(natoka nje ya mada)
Mbona huyu kaoge anauza na alijitangaza kabisa ila wamemchunia,? Au ndo wanaogopa kuanikwa ? Man alisema analiwa na vigogo na akiwataja itakua balaa..
 
Kaoge, James Delicious,dalali wa malaya,nasra muuza mk**du na wengine ndio sehem yao ya kuuza biashara zao
 
Instagram ni uozo mzuuuri kabisa.

Search hizi accounts chache ndo utaelewa nini namaanisha

1,kaoge_mvuto_official
2,james_delicious
3,nasrampendamboro

Hiyo ni mifano tu,

(natoka nje ya mada)
Mbona huyu kaoge anauza na alijitangaza kabisa ila wamemchunia,? Au ndo wanaogopa kuanikwa ? Man alisema analiwa na vigogo na akiwataja itakua balaa..

Nimekusoma, naomba nikuulize swali, umeshawahi kupata bidhaa kupitia insta?

Una ushahidi gani kwamba walichoandika wana-practice!
 
Nimekusoma, naomba nikuulize swali, umeshawahi kupata bidhaa kupitia insta?

Una ushahidi gani kwamba walichoandika wana-practice!
Je ulishawah kutembelea hizo kurasa na ukaona kinachoendelea? Ulishawahi kuona matusi yanayoporomoshwa humo?

Je si kaoge aliyejitangaza anauza(kupitia CLOUDS TV) ?

Je si james delicous aliejitangaza?

Nina uhakika wana practice hiyo michezo 10000% , ( na vipimo ya kitaalamu vinaweza kuthibitisha hili zaidi)
2cfb2ced66a794d0728a59446364e86d.jpg


Haihitaji phd kujua huyu anauza mku***
 
Inapaswa tcra wawe makini insta...kuna account zinatakiwa ziwe blocked kwa kukiuka maadili sasa...sijui inakuwaje wanaziangalia tu..kwan haiwezekani kufungia account yenye maadili zero?
 
Hivi TCRA hawayaoni yanayotendeka kwenye mtandao wa Instagram, yaani Malaya wote Tz wanajiuza Instagram kwa picha zao za uchi uchi, Mashoga wote wapo Instagram , matusi yote kuchambana Instagram,

Sasa sielewi hii cyber crime inatumika kwenye kukosoa tu viongozi na kuacha watu wanaovuruga maadili ya kitanzania, yaani ukitaka kujua kama bado una nguvu za kiume ingia Instagram utadindishaa mpaka uchoke, TCRA angalieni huku ni shida
Ukitaka kujua tcra wapo makini wewe sema tu ukweli kuwa ktk wilaya yako kuna njaa. Uchochezi.
 
Hivi TCRA hawayaoni yanayotendeka kwenye mtandao wa Instagram, yaani Malaya wote Tz wanajiuza Instagram kwa picha zao za uchi uchi, Mashoga wote wapo Instagram , matusi yote kuchambana Instagram,

Sasa sielewi hii cyber crime inatumika kwenye kukosoa tu viongozi na kuacha watu wanaovuruga maadili ya kitanzania, yaani ukitaka kujua kama bado una nguvu za kiume ingia Instagram utadindishaa mpaka uchoke, TCRA angalieni huku ni shida
Hiyo cibercime ni kwa viongozi wa upinzani na wananchi walioko upinzani.
Hayo mambo ya Insta hawapo huko acha maadili yaharibike haiwahusu
 
mkuu mademu wa istagram wanaishi wapi? au wanatembea sa ngapi?

Mkuu mimi nitajuaje, labda mleta maada atujulishe.

Hapa tukianza hayo tutasema mulikeni gesti hausi, mulikeni massage parlours, mulikeni facebook, mulikeni JF - Jukwaa la Wakubwa, mulikeni madanguro, mulikeni maeneo ya kusimama machangudoa, mulikeni ...!

Acha watu wafanye yao, ninaamini kama siyo mteja siyo mteja na hutakwazika kwa kitu kisichokuhusu.
 
Mkuu mimi nitajuaje, labda mleta maada atujulishe.

Hapa tukianza hayo tutasema mulikeni gesti hausi, mulikeni massage parlours, mulikeni facebook, mulikeni JF - Jukwaa la Wakubwa, mulikeni madanguro, mulikeni maeneo ya kusimama machangudoa, mulikeni ...!

Acha watu wafanye yao, ninaamini kama siyo mteja siyo mteja na hutakwazika kwa kitu kisichokuhusu.
kabisa mkuu
 
Je ulishawah kutembelea hizo kurasa na ukaona kinachoendelea? Ulishawahi kuona matusi yanayoporomoshwa humo?

Je si kaoge aliyejitangaza anauza(kupitia CLOUDS TV) ?

Je si james delicous aliejitangaza?

Nina uhakika wana practice hiyo michezo 10000% , ( na vipimo ya kitaalamu vinaweza kuthibitisha hili zaidi)
2cfb2ced66a794d0728a59446364e86d.jpg


Haihitaji phd kujua huyu anauza mku***

Mimi sioni shida, kama hujamfollow hutaona alichopost, na hata ukikiona kitakuathiri kama ukitaka kikuathiri.

Sasa mkuu mtu akitangaza kwamba anauza mku*** na wewe siyo mteja unaathirika vipi?
 
Back
Top Bottom