HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Mbona watu wazima na akili zenu mnajadili kitu kidogo mnaacha hoja yenyewe?
Swala hapa sio kuna nini ndani bali kuna mhuni mmoja kaleta makasha yake bila kufata sheria na akawa analazimisha kuyatoa bila kulipia ushuru.
Kwanini mjadili sijui ndani kulikuwa na nini na kutaka kumsafisha Makonda? Tujadili kwanini aliamua kuleta makasha 20 kwa jina lake na kutaka kuyatoa kwa kisingizio ni msaada ambao kwa mujibu wa sheria zetu yeye sio miongoni mwa watu wanaoweza kupata msamaha wa kile kinachoitwa msaada.
Kwanini mnatumia nguvu nyingi sana kumsafisha Makonda wakati Rais ashasema kodi ilipwe.
Mnataka kumuona Rais mjinga wakati yeye hakuwa akizungumzia yaliyomo ndani ila alizungumza kama mfano tu wa vitu ambavyo vikiachwa viende kimazoea kuna wafanyabiashara watatumia mwanya huo kujiingizia bidhaa zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala hapa sio kuna nini ndani bali kuna mhuni mmoja kaleta makasha yake bila kufata sheria na akawa analazimisha kuyatoa bila kulipia ushuru.
Kwanini mjadili sijui ndani kulikuwa na nini na kutaka kumsafisha Makonda? Tujadili kwanini aliamua kuleta makasha 20 kwa jina lake na kutaka kuyatoa kwa kisingizio ni msaada ambao kwa mujibu wa sheria zetu yeye sio miongoni mwa watu wanaoweza kupata msamaha wa kile kinachoitwa msaada.
Kwanini mnatumia nguvu nyingi sana kumsafisha Makonda wakati Rais ashasema kodi ilipwe.
Mnataka kumuona Rais mjinga wakati yeye hakuwa akizungumzia yaliyomo ndani ila alizungumza kama mfano tu wa vitu ambavyo vikiachwa viende kimazoea kuna wafanyabiashara watatumia mwanya huo kujiingizia bidhaa zao.
Sent using Jamii Forums mobile app