TCRA mnaona huu upuuzi wa startimes

TCRA mnaona huu upuuzi wa startimes

chanaga

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
344
Reaction score
190
Habari na poleni na msiba wa Mzee Mengi,bila kupoteza muda niende kwenye mada;malipo ya mwezi ya kisumbusi changu kilikwisha jana 8.5.2019 lakini kutokana na usawa bado unabana bado sijapata pesa ya kulipia (subscribe) lakini tangu jana startimes wananiletea message kwenye uso wa runinga yangu kila baada ya dakika 5 yaani hata kwa zile channel za bure unashindwa kuangalia hata taarifa ya habari,naomba tcra uchukue hatua haraka sana dhidi ya hawa startimes hasa kwa hizi channel za bure kama ni kukumbusha wanitumie sms 1 tu kwa njia ya simu,nawakilisha.
 

Attachments

  • 1557417827144490442550.jpg
    1557417827144490442550.jpg
    89.2 KB · Views: 47
Habari! kuondoa tatizo hilo bonyeza sehemu iliyoandikwa exit kwenye remote control, ujumbe huo utatoka.
Endelea kutumia Startimes.
Ramadhan Kareem.
 
Habari na poleni na msiba wa Mzee Mengi,bila kupoteza muda niende kwenye mada;malipo ya mwezi ya kisumbusi changu kilikwisha jana 8.5.2019 lakini kutokana na usawa bado unabana bado sijapata pesa ya kulipia (subscribe) lakini tangu jana startimes wananiletea message kwenye uso wa runinga yangu kila baada ya dakika 5 yaani hata kwa zile channel za bure unashindwa kuangalia hata taarifa ya habari,naomba tcra uchukue hatua haraka sana dhidi ya hawa startimes hasa kwa hizi channel za bure kama ni kukumbusha wanitumie sms 1 tu kwa njia ya simu,nawakilisha.
Hao unaowashitakia ndio chanzo cha kuingiliwa kwa mawasiliano yako sio ktk TV bali hata simu!
 
Ufungue huo ujumbe kwa kutumia Remote kisha u-delete...!

Kwisha habari yake..
 
Habari na poleni na msiba wa Mzee Mengi,bila kupoteza muda niende kwenye mada;malipo ya mwezi ya kisumbusi changu kilikwisha jana 8.5.2019 lakini kutokana na usawa bado unabana bado sijapata pesa ya kulipia (subscribe) lakini tangu jana startimes wananiletea message kwenye uso wa runinga yangu kila baada ya dakika 5 yaani hata kwa zile channel za bure unashindwa kuangalia hata taarifa ya habari,naomba tcra uchukue hatua haraka sana dhidi ya hawa startimes hasa kwa hizi channel za bure kama ni kukumbusha wanitumie sms 1 tu kwa njia ya simu,nawakilisha.
Hakuna siku niliwachukia hawa wavimba macho kama jana,yani kutwa nzima ni sms tu,alafu inakaa mda mrefu wakitoa wana tuma nyengine, ilibidi nizine tu,
 
Habari! kuondoa tatizo hilo bonyeza sehemu iliyoandikwa exit kwenye remote control, ujumbe huo utatoka.
Endelea kutumia Startimes.
Ramadhan Kareem.
Utabonyeza marangapi, wengine limonti zilisha kufa, mnafanya vibaya bana,
 
Hapa ndio sielewi ni kwanini DSTV, Zuku na Azam walizimiwa channel za ndani; somebody to explain please
 
Hakuna siku niliwachukia hawa wavimba macho kama jana,yani kutwa nzima ni sms tu,alafu inakaa mda mrefu wakitoa wana tuma nyengine, ilibidi nizine tu,
Sijui leo bado wanaendelea kutuma messages zao zakukera.
 
Back
Top Bottom