Hivi,wakijichunguza hao tcra hawana makosa kweli?
Kuanzisha ving'amuzi wao,
kurusu tununue tunachokitaka wao,
kulipia kwa matakwa ya waendeshaji waliruhusu wao,
kutoa leseni wao
Sasa na kutufungia wao tena.
Tena wanataka niwapelekee madai ya toka nilipoanza kulipia hizo local chanels.
Si kutaka kutusumbua tu.
Hivi usumbufu nao ni sehemu ya majukumu yao.
Sababu sikulazimishwa kulipia,pia lengo halikuwa hizo chanel zenu tu.
Kwani kila chanel kwa mwezi nilitakiwa kuilipia tsh ngapi,ili nikokotoe mapunjo hapa.