TCRA kweli wana nia ya dhati ya kushughulikia hawa matapeli wa mitandaoni?

TCRA kweli wana nia ya dhati ya kushughulikia hawa matapeli wa mitandaoni?

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
635
Reaction score
705
Utapeli kwa njia ya kimtandao ya simu umekuwa ukishika kasi kila siku, kama TCRA wangekuwa kweli wana nia ya kutokomeza ama kupunguza,ingewezekana.

Wana namba yao, wanadai ukituma sms ya namba ya tapeli wanaifungia lakini cha ajabu, unaweza kutumia ujumbe na tapeli, ukatuma hizo namba kama umetuma namba 10 itafungiwa moja tena baada ya mwezi.

Je TCRA wana maslahi na matapeli hawa?
 
Matapeli wameifikia TCRA yenyewe kama huna ujanja wa kutambua kuwa ni tapeli unaweza kutapeliwa ukidhani ni TCRA ya ukweli kuwa wanataka taarifa fulani nyeti ili wakutatulie tatizo lako
 
Utapeli kwa njia ya kimtandao ya simu umekuwa ukishika kasi kila siku, kama TCRA wangekuwa kweli wana nia ya kutokomeza ama kupunguza,ingewezekana.

Wana namba yao, wanadai ukituma sms ya namba ya tapeli wanaifungia lakini cha ajabu, unaweza kutumia ujumbe na tapeli, ukatuma hizo namba kama umetuma namba 10 itafungiwa moja tena baada ya mwezi.

Je TCRA wana maslahi na matapeli hawa?
Toa ushauri jinsi ya kudhibiti......itawasaidia sanaa
 
Utapeli kwa njia ya kimtandao ya simu umekuwa ukishika kasi kila siku, kama TCRA wangekuwa kweli wana nia ya kutokomeza ama kupunguza,ingewezekana.

Wana namba yao, wanadai ukituma sms ya namba ya tapeli wanaifungia lakini cha ajabu, unaweza kutumia ujumbe na tapeli, ukatuma hizo namba kama umetuma namba 10 itafungiwa moja tena baada ya mwezi.

Je TCRA wana maslahi na matapeli hawa?
TCRA hawapo pale kushughulikia matatizo ya mitandao, ile ni ajira tu na usiwamini kanisa kwani wameruhusu namba zisizo sajiliwa zitumike, hata stesheni za redio na tv zinakatikakatika yaani masafa yanazima na kurudi.Mitandao ya simu nayo imejiingiza kwenye utapeli kwa kutuma ujumbe "kamilisha usajili wako" wakati hata siujui na ukizubaa utakuta wanakukata pesa.
 
Back
Top Bottom