Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
Kumekuwa na mtindo wa wahuni wengi Sasa hivi kujisajili Kwa namba za Nchi tofauti wakiwa wamejibanza huko kwenye mapango na kuchafua watu.
Namba hizi zinatumia Watsap tu zimekuwa kichaka cha kuchafuana na kutishiana maisha.
Ebu TCRA fanyeni msako na kuongeza ufanisi kwenye kuzuia haya mambo. Saaa hivi imekuwa fashion.
Namba hizi zinatumia Watsap tu zimekuwa kichaka cha kuchafuana na kutishiana maisha.
Ebu TCRA fanyeni msako na kuongeza ufanisi kwenye kuzuia haya mambo. Saaa hivi imekuwa fashion.