TCRA Inawahujumu Waislam

Status
Not open for further replies.
unalalamika sana wewe, yaani kama kitoto kinachodeka, hakuna muislam anayelialia unavyolia wewe, MICHANGO ndo ilikuwa hoja yako, period
 
Na muache fitna kwani ni dhambi kubwa pia jitahidini kuzikomboa fikra zenu mgando ni ushauri tu msijenge chuki.
 
Tunanyanyasika mara TCRA mara jengo la ccm: mwisho mwenye mabati,nondo,cement na mchango kwa Mpesa, kuomba michango kwa kufanya uchochezi ni kawaida yenu kila mtu anawaonea nyinyi tu.
 
Jamani.si ungesema tu unaomba michango na wangekuelewa?mnataka kugombana na taasisi zote hapa tanzania?
 
Hawa Jamaa wana inferior complex,nani kawaonea? Weka sababu mbona umekimbia? TCRA sio wajinga,msipende kulalamika tu kama unahitaji michango nenda straight kwenye point na si kuunza kutafuta huruma ya waislamu wenzako,stukeni acheni kulalamika tu mda wote na sie tungekua kama nyinyi tusingefika hapa,ushawahi msikia mkristo analalamika kwa nini rais na makamu wake wote ni waislamu? lkn wangekua wakristo waislamu lazima wangelalamika,acheni kulalamika kabilianeni na tatizo kama mmeambiwa muame,hameni jengeni la kwenu.
 
mitu mingine bwana udini umewajaa mpaka kwenye ubongo,sasa sijui unataka mchango au unaonyesha mnaonewa?
 
Nyie Waislam wa dizaini hii kuna siku mtalalamika mungu anawaonea kwa sababu nyie ni waislam....
 

Mambo mengine bana,naomba nikuulize swali kwani hapo mlipangishwa na TCRA au CCM?na je wamevunja mkataba wenu au uliisha?
 
Hii ni udhalilishaji wa hali ya juu kwa waislam wenye kujua maana.
Propaganda ya kutafuta sympathy ya jamii, propaganda ya lawama bila kutoa 'sababu' za kuwa advised kutoka kwenye jengo hilo. This is a disgrace to the muslim community.
 
Wakati unaaandika hi thread ulikuwa umeshkiiwa mtutu wa bunduki. inaonyesha mleta mada hata hujui nini ulichobandika.
 
Eeheeeeee mtalia sanaaaaaaaaaa hadi mtakapojua na kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu.
 
Lengo lake ni kuomba mchango wa ujenzi, sio kuwa Muslims wanakandamizwa
malalamiko yote aliyoweka ni geresha tu. Angalia jinsi alivyohitimisha post yake
anaomba mchango wa ujenzi.

Tuwe wastaarabu, asingizie TCRA
 
i wounder why hizi Radio zinachumia tumbo kwa ccm, kumbe zipo kwenye jengo la wananchi lililoibiwa na CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…