barcelonista
Senior Member
- Apr 26, 2021
- 158
- 150
Leo ni #TBT, angusha mstari wowote kutoka kwa Albert Mangwea, Mstari ambao hadi leo unabaki kama kumbukumbu aliyoiacha CowBama.(r.i.p)
Naanza Mimi, Ngoma inaitwa Msela humo ndani kuna Juma Nature, KR na Ngweair.
Kuna mstari anasema hivi👇👇👇
🎵🎵🎵🎵Na usione tumepinda migongo ukazani ni vibiongo,, pengine ni ufupi tu wa mlango, We endelea kupata bia mi niache nikapate gongo ila mradi wote tuwe stimu ndio life ya kibongo. Mselaaaa🎵🎵🎵🎵
Naanza Mimi, Ngoma inaitwa Msela humo ndani kuna Juma Nature, KR na Ngweair.
Kuna mstari anasema hivi👇👇👇
🎵🎵🎵🎵Na usione tumepinda migongo ukazani ni vibiongo,, pengine ni ufupi tu wa mlango, We endelea kupata bia mi niache nikapate gongo ila mradi wote tuwe stimu ndio life ya kibongo. Mselaaaa🎵🎵🎵🎵