Miss ferrar
Senior Member
- Apr 7, 2016
- 199
- 172
Ni takribani wiki mbili mkoa wa morogoro bia za Tanzania breweries ltd zinauzwa kwa kusuasua au kuadimika kabisa mtaani,kwa uchunguzi mdogo nliofanya huu mji una maagent 3 ambao ni munishi focus,gasper masid(chuwa) na Asenga.
Nilichokiona ni wao kubadili biashara kinyemela na kuuza kwa rejareja(retailers) kama mastockist kinyume na leseni zao za kuuza jumla(wholesalers),huku wakihodhi vinywaji vyote na kuwanyima wauzaji wafanyao biashara kama stockists hivo kuihujumu kampuni mf.bia za kilimanjaro au safari ndogo agent huuziwa Tsh.25000@crate kiwandani,yeye hutakiwa kuuza Tshs.25600@crate kwa stockist huku kampuni ikiwalipa million 10 ya usambazaji pamoja na pesa kwa wafanyakazi,hali imekua tofauti baada ya kuzihodhi ambapo huuza Tsh. 27000@crate kwa wateja wote stockist na rejareja,hivo kutengeneza faida ya Tsh.2000@crate mbali na pesa wanayolipwa na TBL kwa usambazaji na wafanyakazi wao.
TBL fanyieni kazi hizi hujuma kabla tatizo halijazidi kukua.
Nilichokiona ni wao kubadili biashara kinyemela na kuuza kwa rejareja(retailers) kama mastockist kinyume na leseni zao za kuuza jumla(wholesalers),huku wakihodhi vinywaji vyote na kuwanyima wauzaji wafanyao biashara kama stockists hivo kuihujumu kampuni mf.bia za kilimanjaro au safari ndogo agent huuziwa Tsh.25000@crate kiwandani,yeye hutakiwa kuuza Tshs.25600@crate kwa stockist huku kampuni ikiwalipa million 10 ya usambazaji pamoja na pesa kwa wafanyakazi,hali imekua tofauti baada ya kuzihodhi ambapo huuza Tsh. 27000@crate kwa wateja wote stockist na rejareja,hivo kutengeneza faida ya Tsh.2000@crate mbali na pesa wanayolipwa na TBL kwa usambazaji na wafanyakazi wao.
TBL fanyieni kazi hizi hujuma kabla tatizo halijazidi kukua.
"Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."