kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Wadau naombeni kufahamu ukweli maana sasa huu ni upuuzi a.k.a wa hovyohovyo, wiki sasa napigwa danadana ktk kituo cha pale msimbazi na hawa wachina walioingia ubia na TBCI kusambaza hivi videkoda,channels zote hazionekani zaidi ya TBCI tu, ukienda wanakuambia uje na master card, decorder number, etc, na wanasema baada ya 2days things will be clear, waaapiii bwana akuna kitu, niambieni tafadhali ili niweze kudai haki yangu