johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Kituo cha tbc 1 kimepewa onyo kali baada ya mtangazaji wake wa kipindi cha jambo tanzania kukiuka kanuni za utangazaji mnamo tarehe 15.8.2015! Afisa wa Tcra amesema mtangazaji huyo wakati akisoma habari za gazeti la majira na Nipashe alisema habari zilizopewa uzito wa juu ni oil chafu, kitu ambacho hakikuwa kweli bali habari nzito ilikuwa ni mafuriko ya Lowasa huko Mbeya. source patapata WAPO radio. Kadhalika radio ya Magic FM imepigwa faini ya sh.2.5m kwa kukiuka kanuni za utangazaji h/uchaguzi!