Pokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.
Povu ruksa.