Nadhani litakuwa limeahirishwa tena kwani hata channel ya starbunge-tz, nao hawaonyeshi, walianza kuonyesha mwanzoni kidogo ikaoneka na hadi saa 10.5,ukumbi wa bunge ulikuwa tupu!!! sijui kuna nini kimetokea
Nadhani litakuwa limeahirishwa tena kwani hata channel ya starbunge-tz, nao hawaonyeshi, walianza kuonyesha mwanzoni kidogo ikaoneka na hadi saa 10.5,ukumbi wa bunge ulikuwa tupu!!! sijui kuna nini kimetokea