Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi Lipumba hakukosea kwamba huko ni ngome yake.naangalia TBC na wameanza kutangaza matokeo wameanzia na lindi cuf wameongoza ubunge na udiwani
mbona hakuna kitu??? wanaojiana na mchambuzi wa magazeti
cjui kKAMA WAKATI HUU NI WA KUOJIANA PERFORMANCE YA MAGAZETI
hata kwenye website ya Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC) wemeweka matokeo ya ARUSHA Kiti cha urais
CCM = 15000 (20.24%)
CHADEMA = 35000 (47.23%)
CUF = 1000 (1.35%)
NCCR = 20000 (26.99%)
TLP = 3000 (4.05)
ZILIZOHARIBIKA = 100 (0.13%)
Haya matokeo hayajakaa sawa kwani namba ziko kama za kufanyia majaribio system.
Du ghafla yameyachomoa na sasa wameandika "YANAKUJA HIVI PUNDE"