haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
Horible channel never seenhaiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
Wameajiriwa kwa mujibu wa sheria hata ukija wewe mkuu na kuwa mwanasheria mkuu wa serikali hiyo mpya huna mamlaka ya kuwafuta kazi. Wanaogpoa kuambiwa wanapendelea Serikali so wanaona bora wapige kimya.Tbc ccm swala la ulimboka kutekwa hawakusumbuka kabisa,mauaji arusha,songea na leo imetokea morogoro,jaman tbc tambueni nyinyi mnatamba kwa kodi zetu,jaribuni kufungua akili zenu,mkicheza nyote 2015 mtazipoteza kazi zenug,take care
haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
Wameajiriwa kwa mujibu wa sheria hata ukija wewe mkuu na kuwa mwanasheria mkuu wa serikali hiyo mpya huna mamlaka ya kuwafuta kazi. Wanaogpoa kuambiwa wanapendelea Serikali so wanaona bora wapige kimya. Mimi nafikiri nia fundisho kwa asasi ambazo zinatangulisha hisia z kisiasa na kuanza kuvishutumu vyombo vya habari bila ya kuwa na ushahidi wa shutuma zao. TBC1 kamwe hawawezi kuwa na morari ya kuandika habri zaCDM kwa vile hata wakijitahidi vipi kuandika kwa ufasaha wataambiwa wanapendelea serikali.
ITV waliionesha hadi kama live vile.haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....
haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari..
TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi.....