leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,584
- 3,185
Taifa gani vile?Ndio ni Televisheni ya Taifa!
Taifa gani vile?Ndio ni Televisheni ya Taifa!
Kwenu,
Katika hali ya kushangaza jana TBC hawakutangaza habari ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kuachiwa
Kada maarufu wa CCM "Bollen Ngetti" ni mmoja wa watu waliolaani kitendo hicho na kuitaka TBC kama chombo cha habari cha Taifa ijitathmini upya. Unazungumziaje hii mdau?
Sent using Jamii Forums mobile app
TanzaniaTaifa gani vile?
TL ya the great alitoa fasiri ya neno taifa na alitoa nukuu ya vifungu vya katiba. Mfano, kumkosoa rais au sirikali sio kulikosoa taifa. Hivyo, TBC sio chombo cha Taifa ni mali ya serika (kikundi) na CCM.Kwenu,
Katika hali ya kushangaza jana TBC hawakutangaza habari ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kuachiwa
Kada maarufu wa CCM "Bollen Ngetti" ni mmoja wa watu waliolaani kitendo hicho na kuitaka TBC kama chombo cha habari cha Taifa ijitathmini upya. Unazungumziaje hii mdau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ni mazezeta, utafiti maalum umebainishaSorry
Chadema mabwege according to my personal assessment
Mtumishi umeshindwa ku komenti ki kwaresma kwaresma ?Hasara za Taifa zinazoonekana hadharani Ni pamoja na genge matakataka yanayoitwa TBC
Kwenu,
Katika hali ya kushangaza jana TBC hawakutangaza habari ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kuachiwa
Kada maarufu wa CCM "Bollen Ngetti" ni mmoja wa watu waliolaani kitendo hicho na kuitaka TBC kama chombo cha habari cha Taifa ijitathmini upya. Unazungumziaje hii mdau?
Sent using Jamii Forums mobile app