TBC na habari za kimataifa

TBC na habari za kimataifa

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,217
Habari wana jf,

Wana tabia ya kurudia habari mbili au tatu kwa siku nzima. Utayarishaji wao ni mbovu na usiyo na kiwango kabisa hasa tabia ya kurudia rudia picha ambazo mara nyingine huganda na kuwa kama picha mnato.

Pia tabia ya utafsiri sisisi usio wiana huku msomaji huwa kama anakimbizwa wakati wa kutoa habari. Kama hawawezi bora waacha kuliko kulipua!
 
TV nyingi bongo utayarishaji wa habari za kimataifa ni sifuri kabisa, TBC hawaeleweki, ITV ndo sifuri kabisa tena yenye masikio yani wanasoma mstari mmoja tu na hakuna hata tafsiri fupi. Ni Star TV peke yake wanaoandaa vizuri habari za kimataifa, habari inasomwa kwa ukamilifu na kutafsiriwa vizuri bila haraka.
 
TV nyingi bongo utayarishaji wa habari za kimataifa ni sifuri kabisa, TBC hawaeleweki, ITV ndo sifuri kabisa tena yenye masikio yani wanasoma mstari mmoja tu na hakuna hata tafsiri fupi. Ni Star TV peke yake wanaoandaa vizuri habari za kimataifa, habari inasomwa kwa ukamilifu na kutafsiriwa vizuri bila haraka.
Kwel kabisa bora star tv ila mm naona tbc kama inanizingua zaid hadi nimeacha hata kuangalia habar zao. Na habar wanajitahid kuzisoma vizur ni zamagamba.
 
Ichukien TBC kama kinyesi! Hawa la maana!
 
Back
Top Bottom