jamaa always comment zake zimekaa kiwogawoga,..kila anapoongelea ishu kama hizo huwa anamung'unya sana maneno as if kikwete yuko mbele yake,..kwa ufupi jamaa is a coward na comment zake hazipo objective...
halafu mtu mzima kama yule kulamba viatu vya watawla ni aibu,.pamoja na usomi wake hataacha legacy yoyote
shame on you bana..dr????i doubt it very much