Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Kweli inaniuma sana kwa TBC chombo ambacho kodi zangu zinaenda harafu sipati habari kama inavyotakiwa. Yaani utadhani Igunga kuna CCM peke yao mimi najua hata kama vyama vingine visipopiga kampeni ni habari pia kwa chombo cha habari. Mbona mnatutia hasira wananchi kwa kutumia kodi zetu kinyume na inavyotakiwa? mpaka wafanyakazi wanaonekana wakiwa inferior wakati wakitoa habari maana nao wanalazimishwa tu. Mnachochea ghasia na mtakuja kujibu haya mambo mwisho ukifika. Kwa wenye uwezo endeleeni kurecord whatever is happening maana najua kila mtu atakuja kuulizwa na kumalizia maisha yake jela. Hizi promosheni mnazopeana kindugu na kirafiki zitakuja kuwasababishia kumalizia maisha yenu vibaya.
Nimemaliza.
Nimemaliza.