TBC mbona mnahoji upande mmoja ?

TBC mbona mnahoji upande mmoja ?

Mimi siku hz hadi bunge lenyewe huwa naangalia star tv, maana nahisi wanachokirusha moja kwa moja si harisia, halafu kuna kipindi mambo yakichachama bungeni wanaanza kukatakata kwa signal, wakati star tv iko poa, taarifa ya habari nina miaka naangalia ITV na hata ukiend kwenye bar nyingi hapa taarifa ya habari ni ITV na siyo TBC, watangazaji na waandishi wao hawana weledi, wala mvuto, na hata wanachokiripoti ni cha kuisifia serikali mambo mengine hawaoneshi
 
Nyie mnaoponda Television yetu ya Taifa ni mazuzu.

Nawauliza mmejuaje kuwa huwa inahoji upande mmoja kama huwa hamwangalii?

Haya endeleeni kuangalia tv zingine na filamu zenu za kifilipino ili muwe wazungu.
Lakini sisi Watanzania wa bara na visiwani, mijini na vijijini tunaangalia TBC1.

Ukweli na uhakika.

Kama ukiponda tu, wewe nakuhesabu kuwa ni mtazamaji mwaminifu, maana huwezi kumtukana mtu usiyemjua.

Endeleeni kuhabarika na habari za Taifa na Kimataifa kupitia Tanzania Broadcasting Cooperation.

Ke.nge kasoro mki.aaaaa
 
TBC hawana changamoto,wanasuburi kuambiwa cha kutangaza.Sina hakika kama wana tabia ya kutafuta habari nje ya MAELEZO au nje ya ofisi za chama na serikali.Hawavutii wanakera sana.walipomfuza Tido nikajua wanarudia enzi yao.Aibu!
 
Moderators mwambieni Chuki aache chuki zake na matusi.Hiki si kijiwe cha bangi,akatafute mahali pa kutolea matusi yake.Shame on You!
 
Hata wale wanao hojiwa kwenye kipindi cha Mashuhuda wa Muungano kinachorushwa na TBC wote ni wale wanaosifia Muungano ambao ni pro CCM,akina Serukamba,mzee wa mipasho kutoka Maswa
 
Ulikubalije kuhojiwa na waandishi wa kituo kibovu hivyo?
 
je hotuba y raisi ya ufunguzi wa bunge imekidhi haja ya watanzania?
76% wamesema hapana
, ipate hiyo siku moja baa ya hotuba kupitia ITV
 
mimi watangazaji wa TBC nawashangaa pale wanaposhindwa kuwauliza viongozi wa ccm kwa nini wanakubaliana na katiba ya Zanzibar inayosema wazi kwamba,Zanzibar ni nchi
 
jamani nami japo ni mgeni katika jf naomba kueleweshwa kuhusu maaana ya neno UKWELI linanichanganya sana
 
je hotuba y raisi ya ufunguzi wa bunge imekidhi haja ya watanzania?
76% wamesema hapana
, ipate hiyo siku moja baa ya hotuba kupitia ITV
hivi aliposema kwamba kwa kuwa na serikali 3 jeshi linaweza kuchukua nchi na wakati yeye ndie mkuu wa majeshi alikuwa na maana gani? wana JF nifafanulieni hilo
 
hii sio TV,ilipotea tu alipoondoka tido mhando,kwa mtu mwenye akiri kamwe hawezi kuitazama.zitabaki kutazamwa na watu wa bush tu.ni TV ya kishamba sana,na watangazaji wake wote ni mamburura tu na ni washamba hakuna mfano.badilika.
 
kilichopo sasa hivi ni mkakati wa ccm na serikali yake kuhonga vyombo vya habari!,, kwa kifupi serikali iko hoi inachofanya ni kuhakikisha habari mbaya dhidi yao hazitoki... Vyombo vya habari makini vimebaki kama sio kimoja viwili
wewe ni shoga !
 
Mbona redio ziko nyingi kama tbc inakukera si uache kuisikiliza.kiherehere cha nini
 
Back
Top Bottom