TBC iache mchezo huu mchafu

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine.

Watu wengi waliipongeza hatua ya serikali ya kuifanya Radio Tanzania na kituo cha serikali cha televisheni kuwa shirika na kuwa vya umma.

Hapo mwanzoni vituo vya redio na televisheni vya TBC, vilitoa mwanga wa kuwa kweli vya umma.

Lakini pole pole tokea TBC kupata uongozi mpya tunaona ukereketwa wa CCM na kujikita zaidi katika siasa kuliko kuheshimu maadili ya taaluma ya habari, ikiwa pamoja na ya watu kupata habari za kila upande.

Hii sasa Watanzania wengi unawasikia wakisema masikini TBC imepotea njia na hakuna wa kuiongoza njia sahihi.

TBC ya leo imejitokeza wazi kuonyesha ukereketwa wa CCM na kuegemea kupita kiasi upande wa serikali na kujisahau kuwa ni mali ya walipa kodi wote wa Tanzania.

Kwa kweli na hii sio siri TBC ya jana sio ya leo, na kama inataka kuendelea hivyo ni vizuri ikabadili jina na kujiita CCM Radio au CCM TV badala ya kutumia jina la Tanzania. Lakini ikifanya hivyo isitumie pesa za walipa kodi.

Mara nyingi nimesikia kwa uthibitisho juu ya namna ambavyo uongozi wa TBC ulivyowahi kulalamikia baadhi ya vipindi vilivyopita ambapo zilisikika sauti za kuikosoa serikali, kama vile ni haramu kufanya hivyo.
 
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine.

Watu wengi waliipongeza hatua ya serikali ya kuifanya Radio Tanzania na kituo cha serikali cha televisheni kuwa shirika na kuwa vya umma.

Hapo mwanzoni vituo vya redio na televisheni vya TBC, vilitoa mwanga wa kuwa kweli vya umma.

Lakini pole pole tokea TBC kupata uongozi mpya tunaona ukereketwa wa CCM na kujikita zaidi katika siasa kuliko kuheshimu maadili ya taaluma ya habari, ikiwa pamoja na ya watu kupata habari za kila upande.

Hii sasa Watanzania wengi unawasikia wakisema masikini TBC imepotea njia na hakuna wa kuiongoza njia sahihi.

TBC ya leo imejitokeza wazi kuonyesha ukereketwa wa CCM na kuegemea kupita kiasi upande wa serikali na kujisahau kuwa ni mali ya walipa kodi wote wa Tanzania.

Kwa kweli na hii sio siri TBC ya jana sio ya leo, na kama inataka kuendelea hivyo ni vizuri ikabadili jina na kujiita CCM Radio au CCM TV badala ya kutumia jina la Tanzania. Lakini ikifanya hivyo isitumie pesa za walipa kodi.

Mara nyingi nimesikia kwa uthibitisho juu ya namna ambavyo uongozi wa TBC ulivyowahi kulalamikia baadhi ya vipindi vilivyopita ambapo zilisikika sauti za kuikosoa serikali, kama vile ni haramu kufanya hivyo.

unalalamika bila kusema wamefanya nini!
 
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine.

Watu wengi waliipongeza hatua ya serikali ya kuifanya Radio Tanzania na kituo cha serikali cha televisheni kuwa shirika na kuwa vya umma.

Hapo mwanzoni vituo vya redio na televisheni vya TBC, vilitoa mwanga wa kuwa kweli vya umma.

Lakini pole pole tokea TBC kupata uongozi mpya tunaona ukereketwa wa CCM na kujikita zaidi katika siasa kuliko kuheshimu maadili ya taaluma ya habari, ikiwa pamoja na ya watu kupata habari za kila upande.

Hii sasa Watanzania wengi unawasikia wakisema masikini TBC imepotea njia na hakuna wa kuiongoza njia sahihi.

TBC ya leo imejitokeza wazi kuonyesha ukereketwa wa CCM na kuegemea kupita kiasi upande wa serikali na kujisahau kuwa ni mali ya walipa kodi wote wa Tanzania.

Kwa kweli na hii sio siri TBC ya jana sio ya leo, na kama inataka kuendelea hivyo ni vizuri ikabadili jina na kujiita CCM Radio au CCM TV badala ya kutumia jina la Tanzania. Lakini ikifanya hivyo isitumie pesa za walipa kodi.

Mara nyingi nimesikia kwa uthibitisho juu ya namna ambavyo uongozi wa TBC ulivyowahi kulalamikia baadhi ya vipindi vilivyopita ambapo zilisikika sauti za kuikosoa serikali, kama vile ni haramu kufanya hivyo.
Hivi huyo kilaza mkurugenzi wa TBC hajui wanatafuna kodi za watanzania wote? Ninamkumbuka Dustan Tido Mhando aliadhibiwa baada ya kuwa na fairplay!! alipowaita wagombea Urais waje kwenye mjadala wa hoja!! yule mzee wa Visasi na viroja akaingia mitini. Nina maana ya Jaa la Kaya!!!
 
adui namba 1 ni bwana clement mshana,mkurugenzi wa tbc huyu bwana hajitambui kabisaaaa,yani kalewa ukada na kusahau kwamba tbc ni chombo cha uma,kinaendeshwa kwa kodi zetu,nadhani pale tbc kwa sasa kabla ya habari kuruka lazima zipelekwe lumumba zikaguliwe na viongozi wa chama cha mapinduzi ndio ziruke hewani,watangazaji wako wote ni makada wa chama ndio maana 1 alikwenda kugombea uwenyekiti wa ccm mkoa wa mara akapigwa chini,tbc imeharibika imepoteza sifa za kuitwa chombo cha uma,hainatofauti na radio uhuru,kutwa kucha ni mashati ya kijani yanaonekana,mikutano ya ccm kurushwa live na kutumiwa kufanya propaganda chafu kwa maslai ya chama cha mapinduzi,siku upinzani ukichukua nchi wakwanza kumshugulikia ni mshana atueleze mapato na matumizi ya tbc yametumikaje, atupe mchanganuo,
 
Back
Top Bottom