T Taso JF-Expert Member Joined Jun 12, 2010 Posts 2,517 Reaction score 2,439 Mar 18, 2017 #1 TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi. Nimesikia wakimtaja mgeni aliyeko nchini kwa sasa: MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors. Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani?
TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi. Nimesikia wakimtaja mgeni aliyeko nchini kwa sasa: MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors. Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani?
kirisha JF-Expert Member Joined Feb 24, 2017 Posts 573 Reaction score 663 Mar 18, 2017 #2 Ww ndiyo umechemka
Askari Muoga JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 6,112 Reaction score 4,663 Mar 18, 2017 #3 Rais wa kwanza wa South Africa ni nani
Akurutogo Senior Member Joined Aug 29, 2013 Posts 199 Reaction score 103 Mar 18, 2017 #4 kirisha said: Ww ndiyo umechemka Click to expand... We naye uko tbc? Huelewi nini hapo
T Taso JF-Expert Member Joined Jun 12, 2010 Posts 2,517 Reaction score 2,439 Mar 18, 2017 Thread starter #5 Askari Muoga said: Rais wa kwanza wa South Africa ni nani Click to expand... Tuwaulize TBC.
I Idofi JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 2,294 Reaction score 2,007 Mar 18, 2017 #6 tatizo vilaza wengi huko
Askari Muoga JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 6,112 Reaction score 4,663 Mar 18, 2017 #7 Tbc wameingiza vilaza wengi walikuwa awatangazi nafasi za ajira
Nyoka_mzee JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 3,695 Reaction score 5,538 Mar 18, 2017 #8 ukumbuke mjane grace machel alikuwa wa mandela
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,442 Reaction score 50,168 Mar 18, 2017 #9 Taso said: TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi. Nimesikia wakimtaja: MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors. Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani? Click to expand... Ungerekebisha swali lako binafsi sijaelewa unataka kusema nini
Taso said: TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi. Nimesikia wakimtaja: MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors. Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani? Click to expand... Ungerekebisha swali lako binafsi sijaelewa unataka kusema nini
Nyoka_mzee JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 3,695 Reaction score 5,538 Mar 18, 2017 #10 Nyoka_mzee said: ukumbuke mjane grace machel alikuwa wa mandela Click to expand... grace machel aliolewa na mandela
Nyoka_mzee said: ukumbuke mjane grace machel alikuwa wa mandela Click to expand... grace machel aliolewa na mandela
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,442 Reaction score 50,168 Mar 18, 2017 #11 Askari Muoga said: Tbc wameingiza vilaza wengi walikuwa awatangazi nafasi za ajira Click to expand... Ndiyo maana hata mwenye station yake anafuatilia habari mawinguni
Askari Muoga said: Tbc wameingiza vilaza wengi walikuwa awatangazi nafasi za ajira Click to expand... Ndiyo maana hata mwenye station yake anafuatilia habari mawinguni
Askari Muoga JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 6,112 Reaction score 4,663 Mar 18, 2017 #12 marxlups said: Ndiyo maana hata mwenye station yake anafuatilia habari mawinguni Click to expand... ushawai sikia tbc wanatangaza ajira kwa watangazaji ? Na siku mkuu akisema neno atawafuta
marxlups said: Ndiyo maana hata mwenye station yake anafuatilia habari mawinguni Click to expand... ushawai sikia tbc wanatangaza ajira kwa watangazaji ? Na siku mkuu akisema neno atawafuta
CORAL JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 2,827 Reaction score 1,858 Mar 18, 2017 #13 Nyoka_mzee said: grace machel aliolewa na mandela Click to expand... Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela?
Nyoka_mzee said: grace machel aliolewa na mandela Click to expand... Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela?
Nyoka_mzee JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 3,695 Reaction score 5,538 Mar 18, 2017 #14 CORAL said: Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela? Click to expand... Sijakuelewa hapo mkuu? bado mnaubashite
CORAL said: Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela? Click to expand... Sijakuelewa hapo mkuu? bado mnaubashite
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,272 Reaction score 96,398 Mar 18, 2017 #15 Nyoka_mzee said: ukumbuke mjane grace machel alikuwa wa mandela Click to expand... Kwahiyo Mandela ndo rais wa kwanza Afrika Kusini??? Hivi hizi shule siku hizi mnaenda kujifunza nini??
Nyoka_mzee said: ukumbuke mjane grace machel alikuwa wa mandela Click to expand... Kwahiyo Mandela ndo rais wa kwanza Afrika Kusini??? Hivi hizi shule siku hizi mnaenda kujifunza nini??
Bukya Senior Member Joined Apr 1, 2014 Posts 196 Reaction score 121 Mar 18, 2017 #16 Wako makini Ukweli na uhakika hasa Asha Haji ambaye namkubali katika utangazaji.
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,272 Reaction score 96,398 Mar 18, 2017 #17 CORAL said: Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela? Click to expand... Sijui kama hata anamjua De Klerk... Na kama hamjui huyo wala hawezi kumjua Peter Botha...
CORAL said: Kumbe F.W. de Klerk alifuata kwa Mandela? Click to expand... Sijui kama hata anamjua De Klerk... Na kama hamjui huyo wala hawezi kumjua Peter Botha...
xng hua JF-Expert Member Joined Sep 24, 2016 Posts 3,301 Reaction score 5,379 Mar 18, 2017 #18 Winie Mandela ndo alkua mke wa kwanza
bensonwillbert Senior Member Joined Jul 28, 2015 Posts 113 Reaction score 33 Mar 18, 2017 #19 redio ya makada hao kilakitu ndiyoooooooo
kirisha JF-Expert Member Joined Feb 24, 2017 Posts 573 Reaction score 663 Mar 18, 2017 #20 Akurutogo said: We naye uko tbc? Huelewi nini hapo Click to expand... Huyo ni mke wa mandela ww umemkariri win
Akurutogo said: We naye uko tbc? Huelewi nini hapo Click to expand... Huyo ni mke wa mandela ww umemkariri win