Tido Muhando alianzisha Shirika Hili kwa Moyo wake wote,na Mwelekeo Ulikuwa unaoneka,alifanya Kionekane Chombo cha Walipa Kodi,lakini hivi sasa amewekwa **** mmoja pale kwakutetea maslai ya serikali tuuuu!!Ila Ukombozi waja Tumeichoka TBC kwangu ni Marufuku kuangalia Station Hii!!
Taarifa nilizonazo tofauti na hili la TBC,Startv watarusha Live ya CDM Ijumaaa(fundraising kwa ajiri ya Kamanda Wetu Nasari)Asanteni startv kwakujua Biasha c Ukada na mlengo wa Upande mmmoja!!