Wingi wa magari yetu ni sawa na Bangkok? Uzuri wa flyover zinajengeka kirahisi bila kuathiri barabara iliopo.Nilitegemea angalau kwa kuanzia kitu kama hiki pale Tazara lakini .. hapa Ni Bangkok ndiyo walikuwa wanaanza baada ya magari kuwa mengi.
Swali, kweli daraja hili litapunguza msongamano Tazara?
Yes, kwa ufinyu wa barabara zetu you can equate it to Bangkok. Hivi magari yanayotoka Buguruni/Mbagala msongamano utapunguaje maana hiyo flyover ni along Nyrere road! Nieleweshe pleaseWingi wa magari yetu ni sawa na Bangkok? Uzuri wa flyover zinajengeka kirahisi bila kuathiri barabara iliopo.
Hatuna uwezo huo kwa sasa. Na katikati ya jiji space ni ndogo. Itabidi wabomoe nyumba na magorofa kadhaa ili iwekwe hii barabaraNilitegemea angalau kwa kuanzia kitu kama hiki pale Tazara lakini .. hapa Ni Bangkok ndiyo walikuwa wanaanza baada ya magari kuwa mengi.
Swali, kweli daraja hili litapunguza msongamano Tazara?
Yatapungua kwasababu wamekata muda wa kusubiri yatokayo mjini kwenda airport. Yaani sasa hivi hawatasubiri sana kwasababu ya town-jnia yanapita juu.Yes, kwa ufinyu wa barabara zetu you can equate it to Bangkok. Hivi magari yanayotoka Buguruni/Mbagala msongamano utapunguaje maana hiyo flyover ni along Nyrere road! Nieleweshe please
Hii fly over inaweza kuwa msaada kimawazo,ila katika uhalisia tatizo la foleni kitabaki palepale....mana magari yatakuwa yanaumana sana upande wa kushukia,mfano kuelekea uwanja wa ndege sehem ya kushukia pale magari yatakuwa yanakutana kwa wingi halaf mita chache mbele kuna msongamano,unatarajia nini?.....Jana kwa mara ya kwanza nimepita Tazara junction wakati flyover imekamilika. Kusema ukweli im impressed. Flyover ile ukiiona kwa macho ni tofauti na picha mitandaoni, iko vizuri sana.
Kingine nimeona wameacha nafasi kubwa katikati ni wazi wamezingatia BRT lanes zitakazokuja baadae, ningeshauri pale junction ya Nyerere/Kawawa napo waweke flyover kama hii hali itakuwa nzuri zaidi.
Imenikumbusha Chiswick Roundabout Flyover ya London ambayo iko kwenye barabara inaitwa A4 East bound. Muundo wake unafafana na wenye lugha yao wanaiita FLYOVER.View attachment 815433
Haya pia uyasemayo ni mawazo yako tu. Sababu kuu ya foleni ni junction hio ya Tazara kwasababu zinakutana barabara kuu mbili.Hii fly over inaweza kuwa msaada kimawazo,ila katika uhalisia tatizo la foleni kitabaki palepale....mana magari yatakuwa yanaumana sana upande wa kushukia,mfano kuelekea uwanja wa ndege sehem ya kushukia pale magari yatakuwa yanakutana halaf mita chache mbele kuna msongamano.....
Junction ya Jet Lumo,unasemaje? japokuwa iko.mbali na sio kubwa coz inaungana na feeder road ila kiasi chake inaweza kueleta shida...Haya pia uyasemayo ni mawazo yako tu. Sababu kuu ya foleni ni junction hio ya Tazara kwasababu zinakutana barabara kuu mbili.
Pale Veta/Vingunguti polisi huwa wana-prioritize Nyerere road traffic hivyo wanauwezo wa kuhakikisha hicho unachowaza hakiwezi kutokea.
Tunakujua huwa huridhiki ndo maanaNilitegemea angalau kwa kuanzia kitu kama hiki pale Tazara lakini .. hapa Ni Bangkok ndiyo walikuwa wanaanza baada ya magari kuwa mengi.
Swali, kweli daraja hili litapunguza msongamano Tazara?
Jet pia ni junction ndogo, polisi anatoa kipaumbele kwa Nyerere road traffic. Hawezi kufanya hivi Tazara kwasababu ni junction ya barabara kuu mbili.Junction ya Jet Lumo,unasemaje? japokuwa iko.mbali na sio kubwa coz inaungana na feeder road ila kiasi chake inaweza kueleta shida...