TAZAMA wanaajiri vipi?

TAZAMA wanaajiri vipi?

southernboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
904
Reaction score
1,103
Habari wakuu,hivi mradi wa Bomba la mafuta TAZAMA wanaajiri vipi,na vipi kuhusu marupurupu na mishahara inakuwaje? maana tokea nimeomba nafasi mwezi wa 9 sioni feedback yoyote
 
Habari wakuu,hivi mradi wa Bomba la mafuta TAZAMA wanaajiri vipi,na vipi kuhusu marupurupu na mishahara inakuwaje? maana tokea nimeomba nafasi mwezi wa 9 sioni feedback yoyote
Mradi woote ukishona mchina kahusika basi ujue haunaa faida kwa wananchi.

Mchina huwa hatoi kitu cha kusaidia Nchi nyingine.
Huu Mradi ni kama haupo kbisa. Hauskiki
 
Mradi woote ukishona mchina kahusika basi ujue haunaa faida kwa wananchi.

Mchina huwa hatoi kitu cha kusaidia Nchi nyingine.
Huu Mradi ni kama haupo kbisa. Hauskiki
na vipi wanao ajiriwa pale wanakuwa watumishi wa umma au ni wanahusika na mradi tuu?
 
Back
Top Bottom